Baadhi ya maduka jijini Dar es Salaam yakiwa yamefungwa kutokana na mgomo wa wafanyabiashara wanaopinga mashine za kutolea risiti za kielektroniki maarufu kama mashine za EFD.
Mgombea Urais kuptia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, chini ya Mwamvuli wa UKAWA Mh. Edward Lowassa akizungumza na Mwenyekiti wa chama hicho Mh. Freeman Mbowe