Wawakilishi wa Sunderland AFC, TFF na ACACIA wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kusaini mkataba wa kukuza soka nchini.
Rais ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete.
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, Phaustine Martin Kasike.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimwapisha kamishna Diwan Athumani kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Ikulu jijini Dar es salaam Novemba 22,2016