Wanakijiji katika Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma wakiwa wanashughulikia Mlo wao kutokana na baa la Njaa
Katibu wa CCM mkao wa Dodoma Albart Mgumba akikata utepe kuzindua ofisi za chama hicho kata ya Chang'ombe.
Wafanyabiashara wa Batiki
Rais Mteule Dk. John Pombe Magufuli akiwashukuru wananchi wote waliompigia kura kwenye uchaguzi wa Rais uliofanyika tarehe 25,oktoba
Mwenyekiti wa Chemba ya Wafanyabiashara Mkoani Mbeya Bw. Lwitiko Mwakaluka
Mgombea Urais kuptia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, chini ya Mwamvuli wa UKAWA Mh. Edward Lowassa akizungumza na Mwenyekiti wa chama hicho Mh. Freeman Mbowe
Mmoja ya watangaza nia ya kugombea Ubunge kuptia chama cha CHADEMA mkoa Mtwara Bw, Joel Nnanauka.