Nimezaliwa mwaka 1993 wilaya ya KINONDONI Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 5 katika familia ya watoto 8 Nina kaka 3 na dada 3
Ninaishi MBURAHATI na KAKA
Mtaani kwangu najulikana kwa ID - MAUWEZO
Mimi nimesoma mpaka FORM 4
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kucheza dansi) ni: DJ