Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

OSHA yasisitiza waajiri kuitumia teknoloji.

Jumatatu , 1st Mei , 2023

Ikiwa ni siku ya maadhimisho ya wafanyakazi duniani wakala wa usalama na afya mahala pa kazi OSHA kupitia kwa mtendaji mkuu imetoa wito kwa waajiri kuweka mifumo imara ya ulinzi ikiwemo kupitia teknolojia kuhakikisha maeneo ya kazi yanakuwa salama.

Awali akitoa wito katika maadhimisho hayo mjini Morogoro Waziri wa kazi,vijana,ajira na wenye ulemavu prof Joyce Ndalichako amewataka waajiri kutimiza matakwa ya sheria afya na usalama mahala pa kazi katika kulinda wafanyakazi akibainisha kuwa afya ni mtaji katika taifa lolote lile.

'Ni muhimu sana waajiri wakakumbuka katika kipindi hiki ambacho nchi inavutia uwekezaji ni vyema sheria ya afya na usalama mahala pakazi ikatekelezwa'.Prof Ndalichak

Kwa upande wake mwakilishi wa shirika la kazi duniani ILO amesema ni wajibu wa nchi kutekeleza mikataba ya kimataifa iliyoingiwa inayohusu haki na madai ya wafanyakazi ili kuongeza ufanisi katika maeneo ya kazi.

Hata hivyo mtendaji mkuu kutoka OSHA Khadija Mwenda amesema kuna program mbali mbali zimeanzishwa na kuwakumbusha waajiri kuzitumia kwenye maeneo yao ya kazi ili kupata matokeo chanya kila upande akisisitiza afya na usalama kazini ni msingi imara kwa maendeleo.

'kuna program mbalimbali wakala tumeanzisha ambazo kimsingi zimelengakuleta ufanisi na usalama mahala pa kazi hivyo ni sasa waajiri wakapendezwa zaidi kutumia mifumo ya kisasa'..amesema Khadija mwenda-Mtendaji Mkuu -OSHA

HABARI ZAIDI

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani