
(Wachezaji wapya wa Yanga, mlinzi wa kulia, Djuma Shabani (kushoto), Kiungo Khalid Aucho (katikati) na mshambuliaji Fiston Mayele (kulia) walioshindwa kucheza michezo miwili ya kufuzu makundi klabu bingwa Afrika dhidi ya Rivers United baada ya vibali vya vya kimataifa kuchelewa.)

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro
Picha ya mchekeshaji Ebitoke
Picha ya msanii Abdukiba

Joh Makini akiperfome siku ya Simba Day

Rais wa Shirikisho la soka duniani FIFA, Gianni Infantino akizungumza kwenye moja ya mkutano wa shirikisho hilo mwaka huu.

Bondia Manny Pacquiao akizipiga na Yordenis Ugas wa Cuba kwenye mpambano wa kuwania mkanda wa ubingwa wa WBA super welterweight Agosti mwaka huu ambapo Pacquiao alipigwa na kupotwza ubingwa huo.

Picha ya Teksi iliyopandwa Maua