Moja ya gari iliyokuwepo kwenye ajali
Ajali hiyo amehusisha gari ndogo aina ya IST, basi dogo aina ya Hiace na lori.
Takribani watu 16 wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari matatu, wilayani Kahama mkoani Shinyanga usiku wa kuamkia leo Agosti 9, 2022.
Moja ya gari iliyokuwepo kwenye ajali
Ajali hiyo amehusisha gari ndogo aina ya IST, basi dogo aina ya Hiace na lori.