
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla
RC Makalla ameyasema hayo leo Septemba 28, 2022, wakati wa kikao chake na Wakuu wa wilaya, Wakurugenzi, Mameya na wadau wa mikopo hiyo ya Halmashauri huku akihimiza fedha hizo kuwafikia wanufaika waliokusudiwa na serikali.
RC Makalla amesema kuwa, tangu mikopo hiyo ianze kutolewa, mkoa huo katika Halmashauri zake zimekwishatoa zaidi ya bilioni 60.