Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

2 Mei . 2024

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

2 Mei . 2024

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

2 Mei . 2024

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

2 Mei . 2024

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

2 Mei . 2024

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

1 Mei . 2024

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

1 Mei . 2024

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

30 Apr . 2024

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

30 Apr . 2024