Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo
Ijumaa , 30th Aug , 2019
Waziri wa TAMISEMI Mh. Selemani Jafo amesema kampeni ya Namthamini ni ubunifu mkubwa ambao umefanywa na East Africa Television na East Africa Radio kwaajili ya kusaidia kutatua changamoto kwa wanafunzi wa kike nchini.