Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, aliposhiriki ibada fupi ya kumuombea Hayati Dkt. John Magufuli
Wengine walioshiriki kwenye sala ile ni Mama Janeth Magufuli, Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama, na wengineo.