Hatua hiyo imekuja kufuatia ukaguzi uliofanywa na Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali, kuashiria ubadhirifu mkubwa katika uendeshaji wa taasisi hiyo.
Waliosimamishwa ni Meneja Mkuu Kapuulya Musomba, Meneja wa Fedha na Utawala James Batamuzi, Meneja wa Hifadhi ya Mafuta Sudi Abdalla na Meneja wa Usambazaji na Uendeshaji Manager Amour Marine.
Soma taarifa kamili ya Wizara





.jpg?itok=5cvL0YaP)

