Kutokana na hali hiyo Mbunge swale amesema kwa kushirikiana na serikali atahakikisha wananchi hao wa kijiji cha image kata ya kidembye Wilayani njombe wanasaidiwa mbegu ya Mahindi ya muda mfupi na ngano ili wananchi wakazalishe
Tathimini ya awali ya uharibifu ulio tolewa ulibaini ekari 72 za mahindi ziliharibiwa vibaya lakini baada ya kamati ya ulinzk na usalama kutembelea mashamba yote ya wakulima ilibaini zaidi ya ekari 250/za mahindi 25 za parachichi ,mbili za maharage ziliharibiwa vibaya na mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali na mawe.


