Jumatatu , 9th Feb , 2026

Rais wa Marekani Donald Trump ametoa mtazamo wake alichokiona show ya Bad Bunny kwenye Super Bowl Halftime show 2026, akisema ni show mbaya zaidi kuwahi kutokea.

Picha ya Rais Trump kushoto na msanii Bad Bunny

Rais Trump anasema kwa ukubwa wa Marekani ni dharau kuona kilichofanyika Super Bowl sababu show ilikosa ubunifu, ubora, viwango na uwakilishi wa mafanikio yao.

Pia ameongeza kusema hakuna mtu aliyekuwa anaelewa anachoimba rapa huyo Bad Bunny kutoka Puerto Rico pia dancers walichukiza sana stejini.