Jumapili , 26th Feb , 2023

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu ametengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Tanga Omary Mgumba.

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga Omary Mgumba

Aidha Rais Samia amemuhamisha Waziri Kindamba kutoka kuwa Mkuu wa mkoa wa Songwe na kwenda kuwa Mkuu wa Tanga.

Taarifa ya Ikulu iliyotolewa leo Februari 26, 2023 imeeleza mabadiliko mbalimbali yaliyofanywa na Rais kama inavyosomeka hapo chini.