Waziri wa Fedha na Mipango Dkt Philip Mpango
Waziri Mpango ameyasema hayo jijini Dodoma, mara baada ya kupokea hundi za magawio kutoka taasisi 6, ambazo zimekamilisha jumla ya shilingi bilioni 25.12, zilizotolewa kuanzia Novemba 24, 2019 mpaka leo.
Sambamba na hilo Dkt Mpango amewataka wenyeviti wa bodi, wasisubiri mpaka Mkuu wa Nchi atoe maelekezo ndipo watoe michango na gawio.
#HABARI Taasisi 6 zimewasilisha gawio zikiwa zimebakia saa chache kufungwa kwa upokeaji wa gawio kwa tarehe iliyopangwa Januari 23, 2020 saa 6 usikuu
Waziri Mpango amesema mashirika 4 ameyasamehe kutokana na matatizo ya kiuendeshaji. pic.twitter.com/AJojE5P9Vr
— East Africa Radio (@earadiofm) January 23, 2020
Tazama video kamili hapo chini