
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Said imesema kuwa kabla ya uteuzi huo Is-haka alikuwa Naibu Mwenyekiti wa Mahakama ya Ardhi, Unguja .
Uteuzi huo umeanza leo Oktoba 20, 2022
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi leo Oktoba 20, 2022 amemteua Is-haka Khamis kuwa Mwenyekiti wa Mahakama ya Ardhi, Zanzibar.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Said imesema kuwa kabla ya uteuzi huo Is-haka alikuwa Naibu Mwenyekiti wa Mahakama ya Ardhi, Unguja .
Uteuzi huo umeanza leo Oktoba 20, 2022