
Rais John Magufuli
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa imeeleza kuwa Rais amewatumbua Bw. Adelius Kazimbaya Makwega wa Mbozi na Bi. Hadja Makuwani wa Uyui Tabora.
Aidha taarifa hiyo imeeleza kuwa uteuzi wa wakurugenzi wapya kwenye halmashauri hizo utafanyika baadaye.