Jumatano , 15th Sep , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa anawashangaa wale wanaosema kwamba yeye hawezi kugombea urais na kusisitiza kwamba mwaka 2025 Rais mwanamke ataingia madarakani.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Kauli hiyo ameitoa hii leo Septemba 15, 2021, Jijini Dar es Salaam, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Demokrasia Duniani.

Tazama video hapa chini