
Mabaki ya vibanda vilivyoungua kwa moto
Itakumbukwa hii ni mara ya pili tangu maduka manne kwenye soko la wafanyabiashara Katoro kuteketea kwa moto katika soko hilo.
East Africa TV bado inafuatilia tukio hili kwa ukaribu ili kujua hasa ni nini chanzo cha moto huo.