
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan alipowasili Kenya.

Picha ya msanii Lady Jaydee na Usher Raymond

Mwamuzi wa kati, Emmanuel Mwandembwa aliyechaguliwa kuuchezesha mchezo wa watani wa jadi wa Simba dhidi ya Yanga.(wa pili kutoka kulia)

Huyu ndiyo N'golo Kante ambaye Paulo Pogba amekiri ni kiboko yake

Kamanda wa polisi mkoa wa Geita Geita Henry Mwaibambe

Kocha Juma Mgunda (katika waliosimama) akiwa na wachezaji wa Coastal Union

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai

Wa pili kushoto Balozi wa Canada nchini Tanzania Pamela O'Donnell,na wa pili Kulia Balozi wa Uingereza nchini, David Concar wakiwa na Mkuu wa vipindi vya Radio wa East Africa, Lydia Igarabuza (Wa kwanza kulia}.

Kushoto ni msanii Ibraah na mrembo Nanah, kulia ni tattoo aliyochorwa Ibraah