
Picha Gamc Wanyatu
Gamc Wanyatu amechora tattoo mbili zenye kuonyesha uzalendo kwa Tanzania moja ya Hayati Magufuli nyingine ni nembo ya Taifa na tattoo zote hizo amechora kwenye mkono na bega lake la kulia.
Zaidi mtazame hapa kwenye video akizungumzia zaidi kuhusu tattoo hizo.