
Mradi mpya uliotangazwa na serikali
Taarifa hiyo imetolewa na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dakt Hassan Abasi kupitia ukurasa wake wa Twitter, ambapo ameuita mradi huo kuwa ni utekelezaji wa mageuzi ya kaulimbiu ya 'TUNATEKELEZA2019'.
Baada ya kutazama angani na darajani sasa mageuzi ya #TUNATEKELEZA2019 yanaendelea majini...ni wapi na nini kinatokea? Usikose nitafafanua hivi karibuni. pic.twitter.com/aKJ9qh7B9d
— Msemaji Mkuu wa Serikali (@TZMsemajiMkuu) March 29, 2019
Mradi huo mkubwa wa daraja utakuwa ni wa pili, baada ya ule wa Daraja la Nyerere ambao umejengwa Wilaya ya Kigamboni Jijini Dar es salaam na kugharimu takribani Shilingi bilioni 300.
Bonyeza hapa chini kutazama zaidi.