
Picha ya msanii Alikiba
Siku hii ya leo Alikiba ametusanua kwamba ataichia remix ya wimbo wa songi songi aliyoifanya Maud Elka ft Hiro, ambao unafanya vizuri hivi sasa Bongo.
Kupitia akaunti yake ya Twitter Alikiba ameandika kuwa "Here we go, this friday songi songi remix Elka Maud ft King"
Mpaka sasa Alikiba ameshaachia ngoma kadhaa kama ndombolo, saluti, na jealous.