Picha ya msanii AY
Kupitia page yake ya Twitter AY ameandika kwamba "Wakuu, wasanii na Ma Dj's waliokuwa busy na kufanya Amapiano hapa Tanzania, mpaka leo nani kashaenda South Africa kuokota hela zao tujifunze biashara"
"Maana naona wasanii na dj's wa South Africa wanavyokuja kuokota hela Bongo,nini shida".