Picha ya msanii wa filamu Jacqueline Wolper
Kupitia mtandao wake wa Snapchat Wolper ameandika kwamba
"Hivi mtu ukifa kwanini unakuwa star, yaani jamani mtu ungekuwa unapewa nafasi ya kuamka na kuona hao watu wamekupost na kuandika vya uchungu na kurudi kulala nahisi wengi nahisi wangeomba nafasi pia ya kuwapiga kwanza au kuwasuta, no way mnajua kusifia mtu akifa".





