
sherehe za maadhimisho ya miaka 53 ya uhuru wa Tanzania Bara
Katika maadhimisho hayo, yaliyohudhuriwa na viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wa kawaida pia kulikuwa na michezo ya halaiki, sarakasi, ngoma za asili kutoka katika baadhi ya mikoa ya Tanzania Bara na Zanzibar.
