Mkurugenzi Mkuu wa taasisi inayojishughulisha na Utafiti wa Jinsi ya Kupunguza Umaskini ya REPOA, Dkt Donald Mmari.

24 Mar . 2016

Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu katikati akifafanua jambo kwa waandishi wa habari mapema leo wajati akitoa tamko la siku ya Kifua kikuu Duniani,Kulia ni Meneja wa mpango wa Taifa wakudhibiti Kifua kikuu na Ukoma Dr.Beatrice Mutayoba na Kushoto ni Mkurugenzi wa Tiba Dr.Magret Mmbando

24 Mar . 2016

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali PIC, Mbunge wa Sumbawanga Mjini, Aesh Hilary (katikati).

24 Mar . 2016

Mwenyekiti Tume ya Uchaguzi nchini NEC Jaji Damian Lubuva katikati,kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Uchaguzi NEC Emanuel Kawishe na kushoto Mkuu wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga kura wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Giveness Aswile.Mapema leo wakati wakizungumza na waandishi wa Habari

24 Mar . 2016

Baadhi ya wachezaji wa timu ya criketi ya wasichana ya Tanzania katika picha.

24 Mar . 2016