
Mwanamuziki Jhikoman kutoka Tanzania
Mwanamuziki huyo kutoka nchini Tanzania ambaye yupo katika ziara ya kikazi barani Ulaya amepata pia kualikwa na kutembelea miradi mbalimbali ya utamaduni nchini Ujerumani zikiwemo shule na taasisi za muziki nchini humo.
Aidha, mkali huyo wa kibao maarufu cha 'Moyo Unadunda' amesema kuwa hivi sasa anatarajia kufanya kazi mbalimbali na vikundi vya muziki na amekuwa akifanya pia mazoezi ya viungo nchini Ujerumani.
.jpg?itok=LePSNu80)