Msanii Gigy Money
Akizungumza kwenye show ya eNewz ya East Africa Tv, Gigy Money amesema pesa hizo anajilipia mwenyewe tena bila ya kudanga au kutumia pesa ya mwanaume.
"Mimi ninafanya kazi zangu na najituma hakuna hata mwanaume nyuma yangu msije mkajidanganya kama nadanga, ninalipa kodi ya Milioni nne kwa mwezi, mimi sio mwanamuziki pekee bali ni mburudishaji, nina ushawishi na balozi nina pesa ambayo nimelipwa na zinaweza kunilisha miaka" amesema Gigy Money
Tazama hapa chini kwenye video.




