Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lulu Diva afunguka hatma ya Idris Sultan

Alhamisi , 31st Oct , 2019

Dada wa mchekeshaji Idris Sultan, Lulu Diva, amesema hadi sasa wamekwishampata Mwanasheria ambaye atamsaidia mdogo wake kupata dhamana, baada ya usiku wa kuamkia leo kujisalimisha Makao Makuu ya Jeshi la Polisi, Jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na EATV&EA Radio Digital, leo Oktoba 31, 2019, Lulu Diva licha ya kupata kigugumizi juu ya namna ya kuzungumzia suala la ndugu yake kulala polisi, aliomba aachwe kwa muda kwa kuwa hata yeye haelewi hatma ya suala hilo.

"Kwakweli siwezi kuongela chochote kwa sababu mpaka sasa hivi kaka yangu yupo ndani na sijajua inakuaje, yupo Polisi Central, bado hatujapata taarifa yoyote, ndiyo tupo hapa na Mwanasheria kwa ajili ya kufuatilia kila kitu, mimi sifahamu naombeni mniache sijiskiii, siwezi na sipo katika 'mood' ya kuongea, tupo katika mipango ya kumsaidia tuone anatokaje ndani" amesema Lulu Diva.

Jana Oktoba 30, 2019, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda,alimuagiza msanii huyo kujisalimisha katika kituo chochote cha polisi na kwamba maelezo yote angeyakuta huko, baada ya kuhariri picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, na kuweka sura yake.

HABARI ZAIDI

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani