
Miss Lucy Charles
Miss Lucy Charles amesema kuwa jamii inatakiwa kuelewa kwani unaweza ukatumika kwa wanaume na bado usifanikiwe na kupata maendeleo yoyote japo yeye haamini katika hilo.
"Mimi sijatumika lakini siamini kama mtu anaweza akafanikiwa kwa sababu ya kutumika, pia unaweza ukatumika na usifanikiwe jamii inatakiwa ielewe kwani hiyo ni tabia ya mtu, sio lazima uwe staa unaweza ukatumika hata mtu wa kawaida na usipate maendeleo, naamini kwenye kufanya kazi na kutokata tamaa" ameeleza Miss Lucy Charles
Zaidi tazama hapa chini kwenye video.