Picha ya Mkojani na Mkewe akiwa kwenye gari aliyomzawadia
Mkojani anasema thamani aliyonayo mkewe ni kubwa sana na anajulikana hivyo haitaleta picha nzuri kama watu wakimuona kwenye daladala au bajaji.
Zaidi tazama tukio zima hapa Mkojani akimkabidhi gari hilo mkewe.