
Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bw. Gerson Mdemu

Hayati Mwalimu Julius Nyerere
Baadhi ya vijana waliokuwa katika kituo cha Alliance mwaka 2012
Muonekano wa jezi za sasa za Taifa Stars

Baadhi ya wachezaji wa Simba SC katika dimba la Uhuru DSM

Wamachinga wa Kariakoo wakikabidhi msaada wa nguo kwa Waziri Mkuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Naibu Waziri wa Biashara kutoka Jamhuri ya Watu wa China Qian Keming aliyefika Ikulu pamoja na ujumbe wake kwa ajili ya mazungumzo Oktoba 14,2016

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiagana na viongozi wa Jumuiya ya Bohra, baada ya kongamano, katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam

Mgeni Rasmi, Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dr Ali Mohamed Shein akiwa Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama.