
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimvalisha kofia msanii wa HipHop Kala Jeremiah
Akizungumzia hilo kupitia kipinmdi cha Planet Bongo ya East Africa Radio Kala Jeremiah amesema kuwa
"2025 itakuwa muda mzuri na nitakuwa nimejipanga lakini nitaingia kwenye Ubunge kama njia tu kwa sababu siutamani sana Ubunge kikubwa ambacho nakitamani ni kuwa kiongozi wa Nchi Mheshimiwa Jeremiah Kala Masanja halafu hata jina pia limekaa"
Aidha Kala Jeremiah ameendelea kusema anahimiza watanzania waendelee kupenda vitu vyao kwa sababu hakuna mtu ambaye anayeweza kuwasaidia kama hawatopenda vitu vyao.
Zaidi tazama hapa chini kwenye video