Picha ya msanii Rapcha kushoto, kulia ni Paula
Rapcha anasema ametumia line hiyo kwa kuangalia kitu kinachomsumbua Producer P Funk Majani kama kuhusisihwa na drama kwenye mitandao ya kijamii ndio maana amemuomba asamehe ili maisha mengine yaendelee.
Zaidi tazama hapa chini kwenye video