
Kushoto pichani ni Shamsa Ford, kulia Rose Ndauka
Shamsa Ford amesema yeye binafsi hajui kuimba ila anapenda kucheza na kwa upande wa Rose Ndauka bado sana ila anasubiria show yake ambayo atakuwa anamuangalia na kumsikiliza huku akiwa ameshika shavu.
"Rose Ndauka anapenda kuimba sio kwamba hajui, anamuelekeo kidogo na muda utaongea zaidi ila kwangu mimi naona bado kabisa anisamehe kwa hili bora tuendelee kufanya 'movie', mpaka huu mwaka uishe tutaona mengi muziki tuwaachie wakina Maua Sama, Nandy na Rosa Ree" amesema Shamsa Ford
Zaidi mtazame hapa chini kwenye video.