Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mama azaa mjukuu wake

Jumanne , 2nd Apr , 2019

Mama mmoja mkazi wa Marekani mwenye miaka 61 anayejulikana kwa jina la Cecile Reynek Eledge, amezaa mtoto ambaye ni mjukuu wake wa damu.

Bi Cecile akiwa na mtoto wake wa kiume na mume wake

Tukio hilo limewezakana baada ya mtoto wake wa kiume anayejulikana kwa jina la Matthew anayejihusisha na mapenzi ya jinsia moja (shoga) kutaka kupata mtoto na mwenzi wake, Elliot Dougherty, ambapo alimtaka mama yake awazalie mtoto huyo.

Mama akubali ombi la kumzalia mwanae

 

Baada ya mama huyo kukubali kuwa 'surogate mother' kwa mjukuu wake, dada wa Elliot ambaye ni mume wa mtoto wake, akatoa yai lake ili kuchavushwa mbegu za kiume za mwanaye Mathew, kisha kubeba mimba ya mjukuu wake mpaka pale alipozaliwa siku ya jana Aprili 1, 2019.

“Ukiwa shoga na unataka kuwa na mtoto, utatakiwa ufikiria namna ya kipekee ya kupata watoto wako, kuna njia za kipekee za kutengeneza familia yako, zaidi ya yote, tunajihisi wenye bahati kupata mtu wa kutufanyia hili”, alisikika baba wa mtoto huyo Matthew Eledge, huku pembeni akiwa na mwenzi wake Elliot Dougherty.

Mathew ambaye kitaaluma ni Mwalimu, amesema kwamba alipata watu wengi chuoni ambao walikubali kumzalia mtoto, lakini alikuwa na ugumu kidogo.

Eliot ambaye ndiye mume huku akiwa na taaluma ya kutengeneza nywele, amepost kwenye ukurasa wake wa facebook akisema kwamba anafurahi wanawake hao kuwa sehemu muhimu kwenye maisha yake.

Mathew akiwa na mume wake na mtoto wake ambaye amemzaa mama yake mzazi

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria