Watangazaji na wafanyakazi wengine wa East Africa Television na East Africa Radio.
Jumanne , 30th Jul , 2019
Timu ya Namthamini kutoka East Africa Television na East Africa Radio ilipowasili jijini Arusha tayari kwa kuanza zoezi la ugawaji wa taulo za kike katika mikoa ya Arusha na Manyara.