Mkuu wa Idara ya Michezo East Africa TV na East Africa Radio, David Kampista (kushoto) akipokea mchango wa taulo za kike kutoka kwa Melkczedeck Bruno.
Kwa mujibu wa ripoti hiyo idadi ya watu duniani inaongezeka kwa kasi ndogo zaidi tangu mwaka 1950.
Mwasiti akiongea kwenye kipindi cha Mama Mia cha East Africa Radio siku ya leo.
Dkt Ibrahimu akikabidhi taulo za kike kwa mtangazaji wa East Africa TV, Najma Paul.
Picha ya Tweet Oracle "Aura Cool"
Picha za wanafunzi wakiwa wamevaa sare za Kilt
Dkt Ibrahimu Ibrahimu akikabidhi taulo za kike Kwa Mratibu wa Kampeni ya Namthamini, Evelyne Ngalo.
Picha ya Mustapha Ado na wake zake wawili
Picha ya Bentan Wiwa aliyekatwa sehemu za siri na mkewe
Rais wa Rotary Kimataifa, Shekhar Mehta (kushoto) akiwa na Mwenyekiti wa IPP, Bw. Abdiel Mengi (kulia) ndani ya ofisi za East Africa TV na East Africa Radio.
Rais wa Rotary Club duniani, Shekher Mehta akiwasili hospitali ya Muhimbili
kutoka kushoto Mkutubi wa chuo cha KITM, Dorotea Tobias na Mkuu wa chuo hicho Ahmed Mbezi wakikabidhi taulo za kike kwa mtangazaji wa East Africa TV, Mwanne Othman.
