Pichani ni Rais wa 47 wa taifa la Marekani Bw. Donald Trump ambaye anatarajiwa kukabidhiwa rasmi kofia hiyo mapema jumatatu 20 January 2025
Marehemu Shida Salum ambaye ni mama mzazi wa mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe. Hii ni picha aliyopiga wakati wa enzi za uhai wake.
Kikosi cha mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka Tanzania bara Yanga ya Dar es Salaam.
Dkt Charles Msonde