Jumatatu , 31st Aug , 2020

Tarehe na mwezi kama huu mwaka 2004,Mshambuliaji Wayne Rooney alijiunga na Klabu ya Manchester United akitokea Everton.

Wayne Rooney (Kulia) alipokua akikabidhiwa jezi namba 8 na aliyekua Kocha wake Sir Alex Ferguson wakati akijiunga na Manchester United mwaka 2004.

MAFANIKIO YAKE NDANI YA MAN UNITED

-Mechi 559 bao 253

-EPL Mechi 393 bao 183

-Mataji wa EPL 5 -Msimu wa 2006/07,2007/08,2008/09,2010/11,na 2012/13

-Ligi ya Mabingwa Ulaya 1-2007/08

-FIFA World Cup-2008

-Uefa Europa League 1-2016/17

-FA Cup -2015/16

-FA Community Shield-2007,2010,2011,2016.

-League Cup-3

REKODI BINAFSI

-Mfungaji bora wa muda wote wa Manchester United Bao-253

-Mfungaji bora wa muda wote wa England bao -53

-Mfungaji bora wa muda wote wa mabao ya Ugenini ya EPL-94

-Mchezaji aliyefunga mabao mengi ya EPL akiwa na Timu moja-183

-Mchezaji bora wa msimu wa 2009/10.

Aliondoka Manchester United mwaka 2017, na mpaka leo imebaki historia.