Earling Haaland
Manchester City ilipata mgao wa tiketi 31,939 pamoja na viti vinavyoweza kufikiwa kwa urahisi kwa watu wenye uhitaji maalum.
Mauzo ya tiketi za klabu hiyo yanaonyesha hamasa kubwa ya mashabiki kuelekea mchezo huo muhimu.
Hadi sasa Arsenal ambayo itacheza fainali na Man City haijatoa ripoti maalum ya mauizi ya tiketi zao.




