
Manyika amesema, katika majaribio walitakiwa kuondoka wawili lakini mmoja ambaye ni Said Kipao alishindwa kutokana na matatizo ya pasipoti.
Manyika amesema, Daudi alikubaliwa lakini wakahitaji kumbadilisha uraia ili kuichezea timu hiyo na baadaye timu ya Taifa.
Manyika amesema, hawakukubaliana na suala la kumbadili uraia mlinda Mlango huyo na wakakubaliana arudi nchini ili kuweza kuendelea na mazoezi mpoaka pale watakapopata timu nyingine.