Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt Jim Yonazi

7 Oct . 2022

Naibu katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bi. Jenifa Omolo, akimkabidhi Meya wa Manispaa ya Moshi Mjini, Mhe. Mhandisi Zuberi Kidumo, nyaraka za umiliki wa kituo cha afya Moshi-Arusha katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika mjini Moshi mkoani Kilimanjaro. Katikati ni Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Dkt. Jairy Khanga.

7 Oct . 2022