Waziri wa Fedha na Mipango na Mbunge wa Iramba Magharibi, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa Diwani wa Viti Maalum Tarafa ya Kinampanda Wilayani Iramba Singida, Bi. Winzuka Mkumbo, aliyefariki kwa ajali ya gari.

22 Aug . 2022

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt.Mwigulu Nchemba

22 Aug . 2022

Lori la mafuta lililoanguka Kongwa

22 Aug . 2022