_0.jpg?itok=lp7ZdZAj×tamp=1472432202)
msanii wa miondoko ya Hip Hop nchini G Nako
G Nako ameweka wazi kuwa, katika ziara hizi ameweza kufanya kazi kadhaa na wasanii kutoka huko, amesema kuwa, tofauti na hapa nchini, nje ya nchi ratiba ya studio inakuwa inazingatiwa sana.
00:00
00:00
00:00
