
Tindi ametoa kauli hiyo wakati akizungumza kwenye kipindi cha Supa Breakfast cha East Africa Radio, kinaruka kila siku Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 12 : 00 asubuhi hadi Saa 4 asubuhi.
Tindi amesema kuwa "wanaume wengi siku hizi utasikia wanalalamikia nguvu za kiume, fanyeni mazoezi yatawasaidia"
Aidha amesema kuwa "mazoezi hutibu mishipa ya nguvu za kiume, na kudhibiti uzito mtiririko wa damu kwenye sehemu za uzazi za wanaume hata wanawake hivyo huongeza ujasiri "
"Wanaume wengi siku hizi utasikia wanalalamikia nguvu za kiume, fanyeni mazoezi yatawasaidia" - Zainabu Tindi - Mtaalam wa Lishe MOI Muhimbili#SupaBreakfast pic.twitter.com/IdT5grbzUq
— East Africa Radio (@earadiofm) January 15, 2020