Gharama za maisha zatatiza Masoko ya Hisa

Mtendaji Mkuu wa soko la hisa Moremi Marwa

Taarifa kutoka soko la hisa la Dar es salaam imeonyesha kushuka bei hisa zake sokoni kutokana na myumbo uliopo kwenye kupanda kwa bei za bidhaa hali inayosababisha wawekezaji kuchukua tahadhari katika kufanya uwekezaji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS