Wagundua rubani hakumaliza masomo wakiwa angani

Ndege hiyo ilikuwa imejaa abiria na walikuwa wameshatumia dakika 40 tangu waondoke katika uwanja wa ndege wa Heathrow.

Siku ya jumatatu wiki hii, ndege ya Virgin Atlantic iliyokuwa inatoka mji wa London, Uingereza kuelekea New York, Marekani ilighairisha safari yake na kurudi mji wa London baada ya kugundua moja wa marubani katika ndege hiyo alikuwa hajamaliza mtihani wake wa mwisho wa kuruka na ndege.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS